Google PlusRSS FeedEmail

CHIOMA AKPOTHA AFANYA VYEM KATIKA ON BENDED KNEE

Wanawake wanachukua hatua kuweka majina yaoa katika fani uigizaji wa filamu za huko Nollywood baada ya Chioma Akpotha kuingia anga za kina Emeng Isong 'Kuanda filamu yake mwenyewe ya On Bended Knee..Filamu hiyo inachezwa huko Lagos na imeongozwa na muongozaji maharufu nchini humo Lancelot Imasuen..Wengine waliocheza katika filamu hiyo ni pamoja na Chioma Akpotha ,Chet Anekwe,Seun Akindele,Nichole Ndigwe,mcheza filamu wa kike wa Zimbabwe..Memry Savanhu.Filamu hiyo inayotarajiwa kutoka baadae mwaka huu,filamu hiyo inayozungumzia Kasisi Reuben anajikita zaidi katika kuliongoza kanisa kuliko kuangalia ndoa yake,Kemi mkewe akiwa ametelekezwa na mpweke anapata kampani ya kimapenzi kutoka kwa boss wake,Ebube Kanisa linagundua na Reuben anatakiwa kumuacha mkewe vinginevyo kanisa litamtema yeye..

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging