Google PlusRSS FeedEmail

DR CHENI AJIANDAA KUACHIA RETURNING LOVE

Msanii mahiri wa katika Tansia ya filamu na maigizo nchini Mohsin Awadh Dr Cheni,amesema filamu yake mpya iitwayo Returning Love ,itafanya vyema katika soko la filamu hapa nchini..Dr Cheni alisema filamu hiyo ina mafunzo makubwa katika jamii hasa jamii yetu ya Africa ya Mashariki,Amewaomba mashabiki wake wakae mkao wa kula kwa maana filamu hiyo ameiandaa kwa ubora wa hali ya juu sana..na amesema mda wowte kuanzia sasa filamu hiyo itakuwa mtaani ..

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging