Mwanamuziki wa Muziki wa Pop George Michael afya yake sasa imeanza kuimarika ,kwa mujibu wa
mtandao wa Tmz kupitia mahojiano na Mmoja wa Madaktari wake…Mwanamuziki huyo
alilazwa Vienna ,tangu Novembee mwaka jana akisumbuliwa na ugonjwa wa mapafu na
alikaa kwa muda wa mwezi mmoja hospitali bila kurusiwa kutoka..Lakini aliporudi
Jijini London hali yake ilizidi kuwa mbaya na kulazwa tena.Lakini kwa sasa afya
yake inazidi kuimarika siku hadi siku..
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.








