Google PlusRSS FeedEmail

GEORGE MICHAEL AANZA KUPATA NAFUU

Mwanamuziki wa Muziki wa Pop George Michael afya yake  sasa imeanza kuimarika ,kwa mujibu wa mtandao wa Tmz kupitia mahojiano na Mmoja wa Madaktari wake…Mwanamuziki huyo alilazwa Vienna ,tangu Novembee mwaka jana akisumbuliwa na ugonjwa wa mapafu na alikaa kwa muda wa mwezi mmoja hospitali bila kurusiwa kutoka..Lakini aliporudi Jijini London hali yake ilizidi kuwa mbaya na kulazwa tena.Lakini kwa sasa afya yake inazidi kuimarika siku hadi siku..

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging