Mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya Khamis Mwijuma Mwana Fa,amewataka wasanii wenzake ambao wamepata mafanikio katika sanaa hiyo,wabadilike na kutunga tungo za maana ili mda wote wawe kileleni..Mwana Fa alisema hayo wakatia akiongea na Pro-24 Mwishoni mwa wiki wakati akiwa katika mapumziko yake ya mwisho wa wiki..Aliongeza kwa kusema sasa kunawasanii wapya wengi na wanaimba huku wakiwa wamebana pua na wengine wanaimba huku wakitumia style ya vichekesho zaidi na kila siku zinavyozidi kwenda wanazidi kujizolea mashabiki….
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.








