Google PlusRSS FeedEmail

FA.ATOA USHAURI KWA WASANII WENZAKE

Mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya Khamis Mwijuma Mwana Fa,amewataka wasanii wenzake ambao wamepata mafanikio katika sanaa hiyo,wabadilike na kutunga tungo za maana ili mda wote wawe kileleni..Mwana Fa alisema hayo wakatia akiongea na Pro-24 Mwishoni mwa wiki wakati akiwa katika mapumziko yake ya mwisho wa wiki..Aliongeza kwa kusema sasa kunawasanii wapya wengi na wanaimba huku wakiwa wamebana pua na wengine wanaimba huku wakitumia style ya vichekesho zaidi na kila siku zinavyozidi kwenda wanazidi kujizolea mashabiki….

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging