Google PlusRSS FeedEmail

LADY JAYDEE AONDOLEWA KWENYE SAUTI ZA BUSARA

                        
Mwanamuziki Lady Jaydee ameondolewa kwenye orodha ya wasanii wanaotarajiwa kutumbuiza katika tamasha la sauti za Busara litafanyika kuanzia Februari 8 hadi Februari 12 mwaka huu huko Unguja Zanzibar taharifa hii imetolewa na mratibu wa tamasha hilo bwana Yussuf Mahmoud,amesema Jaydee alikuwa atumbuize katika tamasha hilo baada ya kuthibitishwa katika orodha ya awali..Yussuf Mahmoud amesema wamepokea taharifa kutoka kwa mume wa mwanamuziki huyo ambaye pia ndio meneja wake Bwana Gardner Habash kuwa Jaydee hataweza kutumbuiza kutokana na ushauri wa Dactari wake kuwa amemtaka apate mapumziko katiaka kipindi kisichopungua miezi mitatu.Mpaka sasa Haijaelezwa mwanamama huyo anaugua ugonjwa gani..

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging