Mwanamuziki Lady Jaydee ameondolewa kwenye orodha ya wasanii wanaotarajiwa kutumbuiza katika tamasha la sauti za Busara litafanyika kuanzia Februari 8 hadi Februari 12 mwaka huu huko Unguja Zanzibar taharifa hii imetolewa na mratibu wa tamasha hilo bwana Yussuf Mahmoud,amesema Jaydee alikuwa atumbuize katika tamasha hilo baada ya kuthibitishwa katika orodha ya awali..Yussuf Mahmoud amesema wamepokea taharifa kutoka kwa mume wa mwanamuziki huyo ambaye pia ndio meneja wake Bwana Gardner Habash kuwa Jaydee hataweza kutumbuiza kutokana na ushauri wa Dactari wake kuwa amemtaka apate mapumziko katiaka kipindi kisichopungua miezi mitatu.Mpaka sasa Haijaelezwa mwanamama huyo anaugua ugonjwa gani..
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.








