Nguli katika tasnia ya filamu Jenifer Kyaka ‘Odama’ ameingia katika kundi la akina dada wajasiriamali baada ya kuamua kufungua kampuni yake ya utengenezaji wa filamu kwa ajili ya utayarishaji wa filamu zake baada ya kutumia kampuni za wadau wengine wa filamu toka kuanza kutengeneza kazi zake binafsi kutoka kushiriki kwa watayarishaji wengine, kampuni yake ambayo ameipatia jina la J. Production itajihusisha na utayarishaji wa muswada upigaji wa picha za filamu ikiwa ni kazi zake na watayarishaji watakaohitaji huduma hiyo“Kwa sasa hali ya ushindani ni kubwa sana kwa hiyo kama hauna kampuni kwa ajili ya utayarishaji wa filamu zako utasumbuka hata kuharibu kazi yako, unapotumia kampuni ya nje unakutana na changamoto nyingi ikiwa ni pamoja na kucheleweshewa kazi zako lakini pia unakosa usimamizi wa kazi hiyo, unaweza kupoteza muda kwani unapompatia kazi mtendaji hata kama ana kazi nyingi hasemi, hali ambayo uharibu ratiba kwa kucheleweshewa kazi hata kuharibiwa,”anasema Odama.
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.