Google PlusRSS FeedEmail

GENEVIEVE NNAJI ALONGA KWENYE SHEREHE ZA VOICE OF HOPE

Nyota wa filamu nchini Nigeria Genevieve Nnaji,amefunguka mara baada ya kutoa kauli kuhusiana na watu ambao wako katika mahusiano ya ndoa.Mwigizaji huyo ambaye mpaka sasa ni bachela,alitoa kauli huyo kwenye sherehe za kampeni ya Voice of Hope,ambapo alizungumzia maswala ya ndoa na upatanishi wa familia..Ili kuepusha suala la utolewaji wa Talaka,Kampeniya sauti ya matumaini imeanzishwa na Royalty ikiwa na lengo la upatanishi kwa wanafamilia..

This entry was posted in

One Response so far.

  1. Anonymous says:

    ina maana nnanji hakuolewa na coco master 'dibanj'?

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging