Google PlusRSS FeedEmail

INI EDO ATUMIA NAFASI YA UBALOZI WAKE WA KAMPUNI YA GLO KUSAIDIA WATOTO

Nyota wa Filamu kutoka Nollywood Nchini Nigeria Ini Edo,anatarajia kufungua Taasisi itakayoitwa Teach One ,Save A Thousand..Lengo la kufungua taasisi hiyo ni kuboresha elimu kwa watoto wanaishi katika mazingira magumu nchini Nigeria.Ini Edo ambaye ni balozi wa Vijana wa Umoja wa Mataifa,amesema taasisi yake hiyo inahudumia watoto wenye mazingira magumu katika Eneo la Ajegunle na maeneo ya Jirani..Hatua ya mcheza filamu kufungua taasisi hiyo ilitokana na kujionea watoto wa eneo hilo wakiishi katika mazingira magumu..wazo hilo lilimjia wakati alipokuwa akisheherekea siku yake ya kuzaliwa ambapo alikwenda katika eneo hilo kama balozi wa kampuni ya Glo..

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging