Google PlusRSS FeedEmail

MRISHO MPTO NA BENDI YAKE ILITOA BURUDANI USIKU WA UTOAJI TUZO YA MAMA SHUJAA WA CHAKULA






Mrisho Mpoto na Bendi yake wakitumbuiza wageni waalikwa jana usiku katika kijiji cha Maisha Plus ikiwa ni moja ya maadhimisho ya kumtafuta mshindi pamoja na kutoa tuzo ya Mama Shujaa wa Chakula 2012, wakati huo mshindi alipatikana kutoka mkoa wa Kondoa  Sister Martha Mwasu aliyepewa zawadi ya vifaa vya kilimo zenye thamani ya milioni 10




This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging