Google PlusRSS FeedEmail

RECHO AKIFANYA MAHOJIANO

Mwanadada anayetamba na 'single' Upepo Rachael Haule 'Recho' akizungumza baada ya shoo yake aliyofanya  Jumapili katika 'Stage' ya Club Bilicanas, kulia ni mtangazaji wa Televisheni ya Taifa (TBC) akimfanyia mahojiano baada ya shoo hiyo, nyuma yao ni mmoja wa ma Dj wa Pro 24 akiendelea kupagawisha, Usiku huo umepewa jina la Usiku wa Club ambapo unafanyika kila siku ya Jumapili

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging