Google PlusRSS FeedEmail

TUZO ZA BONGO MOVIE KUZINDULIWA JUNE 6

              
Mwenyekiti wa Bongo Movie Steve Nyerere amesema Juni 6 mwaka huu wanatarajia kuzindua Tuzo za kwanza za Bongo Movie,
Steve nyerere amesema tayari wameshatafuta wadau kwa ajili ya kufanikisha tuzo hizo
Alisema kwa sasa wapo kwenye mikakati ya mwisho kuhakikisha wanapata mgeni rasmi atakayezindua kwa mara ya kwanza tuzo hizo ambazo zinatarajiwa kuzinduliwa katika Hotel  ya Serena Jijini Dar es salaam

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging