Mwenyekiti wa Bongo Movie Steve Nyerere amesema Juni 6 mwaka huu wanatarajia kuzindua Tuzo za kwanza za Bongo Movie,
Steve nyerere amesema tayari wameshatafuta wadau kwa ajili ya kufanikisha tuzo hizo
Alisema kwa sasa wapo kwenye mikakati ya mwisho kuhakikisha wanapata mgeni rasmi atakayezindua kwa mara ya kwanza tuzo hizo ambazo zinatarajiwa kuzinduliwa katika Hotel ya Serena Jijini Dar es salaam