Google PlusRSS FeedEmail
New York rap star Nasir bin Olu Dara Jones - Nas ametangaza ujio wake wa new upcoming solo album Nas alitupia kwenye Twitter account yake na kulifungua jina la album hiyo mpya itakayoitwa Life is Good,ambayo utengenezwaji wake utahusisha producers mbalimbali,bila kumsahau Producer maarufu Salaam Remi producers wengine maarufu Studio album ya 9 na ya mwisho kutolewa na Nas ilitoka July 15,2008 iliyoitwa Nigger lakini kutokana na utata juu ya jina hilo aliamua kuiita album yake hiyo,Untitled ambayo ilishika chati za Billboard's Top 200 Albums chart

NAS ATANGAZA RASMI UJIO WAKE MPYA

New York rap star Nasir bin Olu Dara Jones - Nas ametangaza ujio wake wa new upcoming solo album Nas alitupia kwenye Twitter account yake na... [Read More]

Hali ya Artist Sean Kingston inaendelea vizuri kwenye hospitali aliyolazwa Jackson Ryder Trauma Center mjini Miami,baada ya kupata ajali wakati akiendesha pikipiki za kwenye maji aka jetski na kugonga daraja linalounganisha Palm Island na MacAuthor Causeway na kwa sasa ametoka chumba cha wagonjwa mahututi aka ICU Wote Sean Kingston na abiria mwanamke aliyekua naye wanaendelea vizuri na Polisi wanaendelea na uchunguzi wa ajali hiyo na kama itahusishwa na unyaji wa pombe uliosababisha uzembe wa ajali hiyo,basi Sena Kingston atakua matatani...!

SEAN KINGSTON AZIDI KUPATA NAFUU

Hali ya Artist Sean Kingston inaendelea vizuri kwenye hospitali aliyolazwa Jackson Ryder Trauma Center mjini Miami,baada ya kupata ajali wak... [Read More]


The sequel to the hit film The Hangover has set a new record for a comedy film at the US box office.
The film, starring Bradley Cooper and Zach Galifianakis, earned $86.5m (£52.5m) over the weekend making it the biggest comedy movie debut ever.
Despite lukewarm reviews, it edged out animated sequel Kung Fu Panda 2, starring Jack Black and Angelina Jolie, into second place.
The Dreamworks film took $48m (£29.1m).
The fourth movie in the Pirates of the Caribbean franchise made $39.3m (£23.8m) in its second week, and took its worldwide box office total to $623.7m (£378.7m) so far.
The comedy Bridesmaids, about a group of women preparing for their wedding day supporting roles, grossed $16m (£9.7m) in its third week of release.
The top five was rounded off by comic-book adventure Thor, directed by Kenneth Branagh, which made $9m (£5.5m).

HANGOVER SEQUEL BREAKS US BOX OFFICE RECORD

The sequel to the hit film The Hangover has set a new record for a comedy film at the US box office. The film, starring Bradley Cooper and... [Read More]


Hackers posted a fake story about dead American rapper Tupac Shakur on the website of US public broadcaster PBS.
The hoax on the site of the PBS NewsHour programme said Tupac was alive and well in New Zealand, but the story had been removed by Monday morning.
Tupac died in 1996 after being shot four times in Las Vegas.
A group claiming it was behind the hack had complained about last week’s PBS Frontline investigation into Julian Assange’s Wikileaks website.
The group, calling itself LulzSec, and The Lulz Boat on Twitter, claimed it had hacked the site

PBS VICTIM OF TUPAC SHAKUR HACKING HOAX

Hackers posted a fake story about dead American rapper Tupac Shakur on the website of US public broadcaster PBS. The hoax on the site of ... [Read More]

Beyonce reunited with her fellow Destiny’s Child members Kelly Rowland and Michelle Williams at Sunday’s Billboard Music Awards. The pop superstar gave them both a shout out when she accepted her Millennium Award. “I would like to thank Kelly and Michelle from Destiny’s Child. I wouldn’t be standing on this stage if it wasn’t for y’all.”

BEYONCÉ REUNITED WITH DESTINY’S CHILD PALS

Beyonce reunited with her fellow Destiny’s Child members Kelly Rowland and Michelle Williams at Sunday’s Billboard Music Awards. The pop sup... [Read More]

Kim Kardashian and Kris Humphries made their big public debut as an engaged couple last night at the AmberLounge Fashion Monaco event and the lovebirds certainly didn’t disappoint.
Kim was decked out in a sophisticated white dress (not of the wedding variety, don’t worry), but we really couldn’t concentrate on anything besides her big rock! Of course, Kim made sure the 20.5 carat diamond ring was visible in every single picture.
Kris, her extremely tall basketball player fiance, looked quite happy as well in his gray suit and aviators. The two are in Monaco on vacation with Kris’ family, and, naturally they found their way to the hippest parties and made sure the cameras followed.
Kim tweeted from the show: “Backstage at the Matthew Williamson fashion show! He is amaze! Prince Albert & Charlene here too! About 2 go on stage! I always get nervous” With that kind of bling on your finger, what’s there to be nervous about, Kim?!

KIM KARDASHIAN SHOWS OFF HER GIANT RING, GIANT MAN IN MONACO

Kim Kardashian and Kris Humphries made their big public debut as an engaged couple last night at the AmberLounge Fashion Monaco event and th... [Read More]

Lady Gaga has replaced Adele at the top of the UK chart after scoring the best first-week album sales of 2011 so far.
Her album Born This Way sold 215,000 copies in its first week – more than the rest of the top 10 put together.
Adele’s second album, 21, has slipped to number two after spending 16 of the last 21 weeks in the top spot.
The British soul singer is also in third place with her debut album 19.
Lady Gaga’s debut The Fame is also still selling well, at number seven.
The American star said: “I feel so honoured to have the highest first week sales in the UK this year.
I wrote the album’s first single Born This Way in Manchester because I was so inspired by the confidence and bravery characteristic of my fans.”
On the singles chart, US rapper Pitbull held on to the top spot for a second week with his debut single Give Me Everything featuring Ne-Yo, Afrojack and Nayer, according to the Official Charts Company.

LADY GAGA ENDS ADELE’S REIGN AT THE TOP OF THE UK CHART

Lady Gaga has replaced Adele at the top of the UK chart after scoring the best first-week album sales of 2011 so far. Her album Born This W... [Read More]

* Winfrey was born to a poor, single mother in rural Kosciusko, Mississippi, where she grew up without a television at home
* At age 19 became the first female African-American news anchor.
* In 1984, she moved to Chicago to host a morning talk show which was renamed The Oprah Winfrey Show within a year. She came to own the program through her company Harpo Inc, and it was nationally syndicated in 1986.
* The Oprah Winfrey Show is the top-rated U.S. daytime talk show. Its final season was watched by an average 6.4 million U.S. viewers and millions more in 150 nations overseas.
* The Oprah Winfrey Show has won 48 daytime Emmy awards, including those for Winfrey as host.
* The Oprah Book Club has championed 65 titles and has almost two million members.
* Winfrey was ranked the third-most-powerful woman in the world on Forbes magazine’s 2010 list, behind U.S. First Lady Michelle Obama and Kraft Foods CEO Irene Rosenfeld. She was ranked 130 on Forbes’ 2010 U.S. rich list, with an estimated fortune of $2.7 billion.
* Winfrey was Oscar-nominated for her role in the 1985 movie The Color Purple. She also produced the Broadway stage version of The Color Purple and the movies Beloved and Precious: Based on the Novel Push by Sapphire.
* Other Oprah Winfrey projects include her charity Angel Network, the O magazine, the Oprah Winfrey Leadership Academy for Girls near Johannesburg, South Africa, and the OWN cable TV channel

OPRAH FACTS AT A GLANCE

* Winfrey was born to a poor, single mother in rural Kosciusko, Mississippi, where she grew up without a television at home * At age 19 bec... [Read More]

Baada ya habari kusambaa kuwa Superstars toka Nigeria,Actress Genevieve Nnaji na Msanii D'banj kuwa wanaoana wazazi wa pande mbili wameibuka na kukana kuwa wanaoana
kwa mujibu wa wazazi wa msanii D'Banj,Mr na Mrs Oyebanjo,Producer wake Don Jazzy na Manager wake Sunday wamesema kuwa hawajui kama kuna mipango ya maandalizi ya harusi na inasemekana kuwa D'Banj hajamtambulisha kwa mujibu wa kabila lake la Yoruba,na familia nzima inamshangaa D'Banj kuchagua siku ya kufunga ndoa bila ya kuwataarifu wazazi wake wala watu wake wa karibu kimuziki

WAZAZI HAWATAMBUI MAANDALIZI YA NDOA YA D"BANJ GENEVEVIEVE

Baada ya habari kusambaa kuwa Superstars toka Nigeria,Actress Genevieve Nnaji na Msanii D'banj kuwa wanaoana wazazi wa pande mbili wamei... [Read More]

Sean Kingston yuko mahututi baada ya kupata ajali huko  Miami Beach,alipokua anaendesha pikipiki za kwenye maji  Jet Ski
Sean Kingston alijeruhiwa baada ya kugonga daraja linaloiunganisha Palm Island na MacArthur Causeway na alikimbizwa kwenye Jackson Memorial Hospital,kwa matibabu akiwa pamoja na mwanamke aliyekua naye wakati akiendesha pikipiki hiyo
Wasanii na fans wake wengi wamekua wakimtumia salamu za pole na kumuombea apate nafuu haraka kwenye mtandao wa Twitter

Sean Kingston alizaliwa February 3,1990 Huko Miami-Florida kabla ya kuhamia Kingston, Jamaica akiwa na miaka 6 na aliachia single ya Beautiful Girls May 2007,iliyoshika namba 1 kwenye US Billboard

SINGER SEAN KINGSTON HURT IN JET SKI CRASH

Sean Kingston yuko mahututi baada ya kupata ajali huko  Miami Beach,alipokua anaendesha pikipiki za kwenye maji  Jet Ski Sean Kingston alij... [Read More]

US musician and poet Gil Scott-Heron, often called the Godfather of Rap, has died in a New York hospital aged 62.
The cause of his death is not clear, but he is believed to have become ill after returning from a visit to Europe.
Scott-Heron’s material spanned soul, jazz, blues and the spoken word. His 1970s work heavily influenced the US hip-hop and rap scenes.
His work had a strong political element – one of his most famous pieces was The Revolution Will Not Be Televised.
Scott-Heron’s friend Doris Nolan said the musician had died at St Luke’s Hospital on Friday afternoon.
Scott-Heron was born in Chicago in 1949 – the son of former football player in Britain – and grew up in Tennessee before moving to New York.
He had a long-running song-writing partnership with pianist and flautist Brian Jackson, who he met at Lincoln University.
The pioneering style he developed while working with Jackson, mixing minimalist percussion with poetry, meant Scott-Heron was often described as the godfather of rap.
But the artist himself rejected this title.

US MUSICIAN AND POET GIL SCOTT-HERON DIES AT 62

US musician and poet Gil Scott-Heron, often called the Godfather of Rap, has died in a New York hospital aged 62. The cause of his death is... [Read More]

US actor Jeff Conaway, a star of the 70s musical Grease, has died aged 60.
Conaway played the swaggering teenager Kenickie, alongside John Travolta and Olivia Newton-John. He also played Bobby in the comedy series Taxi.
His family decided to switch off his life-support machine after he had spent several days in an induced coma.
The actor had battled for years against drug and alcohol addiction, something that he blamed on pain from a lingering back injury.
He spoke openly about his addiction on the Celebrity Rehab reality show in 2008, his last TV appearance.
Conaway made his Broadway debut in 1960 at the age of 10 in the Pulitzer Prize-winning drama All the Way Home.
He got his big break with Grease in 1978, but also suffered a back injury during filming which led to an addiction to painkillers and other drugs.

JEFF CONAWAY, GREASE AND TAXI ACTOR, DIES AGED 60

US actor Jeff Conaway, a star of the 70s musical Grease, has died aged 60. Conaway played the swaggering teenager Kenickie, alongside John ... [Read More]


Musicians including Carlos Santana and Herbie Hancock have criticised Grammy Award organisers for dropping categories from the annual show.
It was announced last month that at least 30 categories would be cut.
The musicians, who argue the changes were made without consulting Academy members, have delivered a letter of protest to the Recording Academy.
But president of the musical organisation, Neil Portnow said a members committee had been consulted.

Contemporary blues, Native American, Hawaiian, and Latin jazz are among the 31 categories that are being cut from the prestitgious awards show.
The musicians are calling for the categories to be reinstated, saying the reductions unfairly target ethnic music.

CARLOS SANTANA AND HERBIE HANCOCK BATTLE GRAMMY CHANGES

Musicians including Carlos Santana and Herbie Hancock have criticised Grammy Award organisers for dropping categories from the annual show.... [Read More]

Teenage country singer Scotty McCreery has been crowned this year’s winner of American Idol.
The 17-year-old from Garner, North Carolina, beat fellow teenager Lauren Alaina, who had been been considered the favourite to win the show.
McCreery, a high-school student who also works part-time at a local grocery store, won over audiences with his trademark deep voice.
He is the first country music winner since Carrie Underwood won in 2005.
McCreery is also the fourth consecutive male contestant to win the competition
After being declared the winner, he said: “Never in my wildest dreams. I got to thank the Lord first. He got me here.”
During the finale he sang with country singer Tim McGraw, as well as singing what will become his first single, I Love You This Big.

SCOTTY MCCREERY WINS AMERICAN IDOL

Teenage country singer Scotty McCreery has been crowned this year’s winner of American Idol. The 17-year-old from Garner, North Carolina, b... [Read More]

According to a US report British pop star Cheryl Cole has been dropped from the judging panel of the US version of The X Factor.
Entertainment website TMZ said sources claimed producers were concerned the singer’s Newcastle accent was too strong for US audiences.
Cole’s UK publicist has refused to comment on the story.
Reports says Former Pussycat Doll Nicole Scherzinger, who had been lined up to co-host will replace her.
After months of speculation, it was confirmed earlier this month that Cole had landed the coveted spot on the judging panel alongside former American Idol judge Paula Abdul, Antonio LA Reid and Simon Cowell.

CHERYL COLE ‘DROPPED BY US X FACTOR

According to a US report British pop star Cheryl Cole has been dropped from the judging panel of the US version of The X Factor. Entertainm... [Read More]

Veteran talk show host Oprah Winfrey’s final programme has been broadcasted on Wednesday after 25 years on the air.
The 57-year-old, widely regarded as one of the world’s most influential women, pre-recorded the show on Tuesday.
The talk show queen was seen alone on stage, telling viewers how much they mean to her.
The finale follows a two-day special farewell show at the United Center in Chicago, which Madonna and Beyonce took part in.
Fans who watched Winfrey record the final show said she had tears in her eyes as she bid farewell one last time.
The Oprah Winfrey Show, which is syndicated in 145 countries, redefined the talk show genre and made Winfrey one of the most influential women in the US as well as the wealthiest black woman in the world.
The star, who recently relinquished her position as Forbes magazine’s most powerful celebrity to Lady Gaga, announced in November 2009 she would be leaving.
At the time she told audience members the final season would “knock your socks off.”
On her 25th and final series she was filmed dancing on stage with John Travolta and took an entire audience to film in Australia.
Other season highlights included interviews with President Barack Obama and first lady Michelle Obama, former President George W Bush and Michael Jackson’s family.
The double episodes filmed in front of 13,000 fans went out earlier this week and saw Tom Cruise, Aretha Franklin, Tom Hanks and Stevie Wonder pay tribute to the presenter.
In January, Winfrey launched her own TV network, which will offer round-the-clock lifestyle programmes.
The channel is called OWN, or the Oprah Winfrey Network and is a joint venture with the Discovery channels.

WINFREY’S FINAL SHOW BROADCASTED

Veteran talk show host Oprah Winfrey’s final programme has been broadcasted on Wednesday after 25 years on the air. The 57-year-old, widely... [Read More]

The music industry’s hottest stars hit the red carpet for the Billboard Music Awards in spectacular fashion. Check out all the sizzling styles and over-the-top looks!


                                                               Rihanna in Max Azria.

 
                                          Michelle Williams.

   
                                                Mary J. Blidge.


                                                                     Nicole Kidman.



                                                Selena Gomez in Dolce & Gabbana.



                                               Keri Hilson.

                                   Kelly Rowland in Herve Leger.
                                        Nick Minaj in Mark fast.


                                      Taylor Swift in Elie Saab.


                               Kylie Minogue in Alexander Mc queen.


BEST AND WORST DRESSED AT THE 2011 BILLBOARD MUSIC AWARDS

The music industry’s hottest stars hit the red carpet for the Billboard Music Awards in spectacular fashion. Check out all the sizzling styl... [Read More]

Rapper Eminem and teen star Justin Bieber were the big winners at the Billboard Music Awards in Las Vegas, taking home six prizes each.
Eminem, who was not at Sunday’s ceremony, won artist of the year, the night’s top prize.
Bieber thanked “everybody who helped me get out of my home town” at the event – the first televised BMAs since 2006.
Britain’s Taio Cruz won best single for Dynamite, while other winners included Katy Perry, U2 and Beyonce Knowles.
Eminem’s prizes included top artist and top male artist, while Bieber counted fan favourite and top new artist awards among his haul.
A star-studded ceremony, broadcast live on US TV, was opened by Britney Spears and Rihanna singing a remix of the latter’s hit S&M.
Other performers included Cee Lo Green, country star Keith Urban and Neil Diamond, who sang his 1969 hit Sweet Caroline after winning the icon award.
Beyonce was given the Millennium Award for her musical influence and was also recognised as a role model for women.
U2 won the top touring award for their 360 Degrees Tour.
The awards’ winners were chosen for their popularity, based both on chart performances and internet social and streaming activity.

EMINEM AND JUSTIN BIEBER WIN BILLBOARD MUSIC AWARDS

Rapper Eminem and teen star Justin Bieber were the big winners at the Billboard Music Awards in Las Vegas, taking home six prizes each. Emi... [Read More]

Nachukua nafasi hii kukushkuru sana kwa support unayoendelea kutupatia kiukweli bila mchango wako hatuwezi fika popote. Sisi kama TETEMESHA RECORDZ tumejiwekea malengo ya kuwa tunajaribu kutafuta wasanii wachanga kabisa lakini wenye vipaji na kuwapika kisha kuwatambulisha katika music industry hapa Tanzania
Tulianza na HUSSEIN MACHOZI,akafuata SAJNA na sasa ni zamu ya msanii mwingine mpya C-SIR MADINI kutoka Mwanza na ina lake kamili ni PETER MPONEJA, na jina lake matumizi ya Muziki litakuwa likiandikwa C-SIR. ila kwa ukamilifu wake tunaomba mumpokee kwa majina mawili yaani C-SIR MADINI. Huu ndio wimbo wake wa kwanza kutoka,na utakuwa katika album yake ya kwanza ambayo bado tunaendelea kuirekodi.Video ya wimbo huu imekwishafanyika chini ya ADAM JUMA wa VISUAL LAB NEXT LEVEL na itatoka siku chache zijazo....

KICHWA KIPYA TOKA TETEMESHA RECORDS

Nachukua nafasi hii kukushkuru sana kwa support unayoendelea kutupatia kiukweli bila mchango wako hatuwezi fika popote. Sisi kama TETEMESHA ... [Read More]

Waziri mkuu wa Kenya,Raila Amolo Odinga amemchagua Toriano Adaryll Jackson Tito Jackson toka Marekani,ambaye ni kaka mkubwa wa Michael Jackson (aliyekua anaunda kundi la The Jackson 5) kuwa Balozi wa Taasisi ya Jaramogi Oginga Odinga Foundation (J.O.O.F.)
Mbali ya kuchaguliwa kuwa balozi wa taasisi hiyo iliyoanzishwa na kumuenzi baba yake Raila,Marehemu Mzee Jaramogi Oginga Odinga pia Tito Jackson amepewa uraiwa wa heshima wa Kenya aka Honorary Citizen of Kenya na kazi yake kubwa itakua kuanzisha na kuendeleza kazi za taasisi hiyo na kuieneza duniani na tasisi yake nchini Kenya Uteuzi huo umefanywa April 16,2011,akiwa kama balozi wa heshima wa J.O.O.F. Atafanya kazi na Kenyan Ambassador Dr. Wenwa Akinyi Oranga na ofisi ya J.O.O.F. ya nchini Marekani ipo jijini Los Angeles,California

TITO JACKSON KUWA BALOZI WA TAASISI YA JARAMOGI OGINGA ODINGA

Waziri mkuu wa Kenya,Raila Amolo Odinga amemchagua Toriano Adaryll Jackson Tito Jackson toka Marekani,ambaye ni kaka mkubwa wa Michael Jacks... [Read More]

Paul na Peter Okoye tangu walipoanza muziki mwaka 2001,wameshaachia  album 4 zenye mafanikio,kuanzia Last Night (2003),Get Squared (2005), Game Over (2007) na Danger,kwa mujibu wa P-Square kwa sasa wako kwenye mishemishe za kutayarisha album yao mpya ya 5
Na katika maandalizi ya album concert,P Square wamewachukua dancers 12 (6 wa kiume na 6 wa kike) walipofanya mchakato wa kuwatafuta dancers watakaoshirikiana nao kwenye maandalizi ya album yao ya 5 na kwa sasa wako kwenye mazoezi kwa muda wa miezi 3 sasa na album yao inatarajiwa kuwa na kati ya track 10 na 13,zikiwemo za Bunieya na Forever ambazo zitakua kitaani soon kwa fans wao

P SQUARE WAJA NA ALBUM MPYA

Paul na Peter Okoye tangu walipoanza muziki mwaka 2001,wameshaachia  album 4 zenye mafanikio,kuanzia Last Night (2003),Get Squared (2005), G... [Read More]

The Death of Osama bin Laden (Hip-Hop Interpretation)

[Read More]


Uhusiano  wa kimapenzi wa wasanii toka THT,Linah na Amini umefikia kikomo  baada ya kila mmoja kusema  kuwa wameachana,Linah alisema“Tulikaa tukakubaliana na kila mmoja akaridhia kuwa iwe mwisho wa uhusiano wetu hivyo sababu siwezi kuweka wazi ila mashabiki wangu wajue tumeachana,”...Huku Amini nae alisema....“Dah! bwana ndiyo hivyo kila mtu kwa sasa yupo kivyake ila uelewe sipendi kuzungumzia uhusiano wetu sababu haunisaidii chochote katika muziki wangu.” Inasemekana kuwa wimbo aliouimba Linah wa Bora Nikimbie ulikua ni kutoka moyoni kwasababu inadaiwana Amini alikuwa na tabia ya kumpa kipigo Linah mara kwa mara kitendo ambacho alikuwa anakivumilia na kufikia hatua ya kumwagana

AMINI - LINAH WATENGANA

Uhusiano  wa kimapenzi wa wasanii toka THT,Linah na Amini umefikia kikomo  baada ya kila mmoja kusema  kuwa wameachana,Linah alisema“Tulika... [Read More]

mmmmh huyu dogo hajatulia...!!!

[Read More]

Snoop Dogg - Wet

[Read More]

Beyonce & Ciara beef.... Is This Real???

[Read More]

Kelly Rowland - Motivation

[Read More]

DJ Triple Exe - The Passion of Rnb 28

DOWNLOAD [Read More]

Msanii toka Congo-DRC,Ipupa Nsimba aka Fally Ipupa na bendi yake ya watu 18,watadondoka nchini Kenya kupiga show kwenye concert iliyoitwa Sawa Sawa Concert itakayofanyika May 28 huko Nairobi
Sawa Sawa Concert itafanyika pande za viwanja vya Carnivore grounds,pia mshindi wa tuzo ya MTV gospel singer Daddy Owen toka Kenya naye atapiga show

FALLY IPUPA ATARAJIWA KENYA MAY 28

Msanii toka Congo-DRC,Ipupa Nsimba aka Fally Ipupa na bendi yake ya watu 18,watadondoka nchini Kenya kupiga show kwenye concert iliyoitwa Sa... [Read More]

Dannii Minogue is standing down as a judge on The X Factor.
The 39-year-old Australian singer quit the ITV talent contest just days before the new series is due to launch.
She put the decision down to a clash with her commitments as a judge on Australia’s Got Talent.
Her departure from X Factor fuels more speculation about the make-up of the panel, after the decision by Simon Cowell and Cheryl Cole to appear as judges on the US version of the show.
Minogue joined the show in 2007 and mentored two winners, Matt Cardle and Leon Jackson.
She confirmed her decision to leave by posting a link through to the website mydaily.co.uk, for which she is a contributing editor, via her Twitter page.
She said: “I am so disappointed that I can’t be a part of The X Factor this year.
“I’m going to miss the show and the amazing team who work so incredibly hard on it.”
She added: “During discussions for me to return [to The X Factor] it became clear that unfortunately, this year, the X Factor audition dates in the UK clash with the live shows of Australia’s Got Talent during June and July.
“For this reason I am unable to return.”
There has been media speculation that Louis Walsh will return to the UK judging panel and Lily Allen, Gary Barlow, Melanie B, Ozzy Osbourne and Tulisa Contostavlos, from the band N-Dubz, have all also been linked to the show.

DANNII MINOGUE QUITS AS JUDGE ON THE X FACTOR

Dannii Minogue is standing down as a judge on The X Factor. The 39-year-old Australian singer quit the ITV talent contest just days before ... [Read More]

Beyoncé Knowles amekamilisha nyimbo 72 ambazo inasemekana kuwa huenda zikawa kwenye album yake mpya ya 4
Album ya 4 ya Beyonce itaitwa 4 ya kwanza ilikua Dangerously In Love (2003), ya 2 ilitwa B’Day (2006) na ya 3 iliitwa I Am… Sasha Fierce (2008) na kusema kuwa namba 4 ni kitu maalum sana kwake coz ni 4 ni tarehe aliyozaliwa,Birthdayya mama yake,April 4 ni siku aliyoolewa na tarehe 4 pia washikaji zake kibao wamezaliwa...!

HABARI NJEMA KUTOKA KWA BEYONCE KNOWLES

Beyoncé Knowles amekamilisha nyimbo 72 ambazo inasemekana kuwa huenda zikawa kwenye album yake mpya ya 4 Album ya 4 ya Beyonce itaitwa 4 ya... [Read More]

Leo ratiba ya tamasha la 14 la ZIFF imetoka ikionyesha kuweko filamu 71 kutoka nchi 39 zitakazoonyeshwa katika siku 10 za tamasha. Pamoja na maonyesho ya filamu kutakuwepo vilevile warsha kubwa 8 zitakazofundisha utengenezaji wa filamu za dokumentari na pia ufundi wa kutumia kamera za HD.
Zaidi ya hayo kutakuwa pia na dhifa kadhaa pamoja na maonyesho ya filamu vijijini yanayodhaminiwa na The Cinema Mondial Tour ya Uholanzi. Filamu hizo pamoja na za ZIFF zitaonyeshwa katika vijiji visivyopungua 15 hapa Unguja na Pemba.

Lakini cha kuvutia zaidi ni kuweko kwa mpiga muziki maarufu Shaggy katika ZIFF. Mjamaika-Mmarekani huyu anajulikana zaidi kwa wimbo wake “It wasn’t Me” uliowakoroga vijana akionyesha utundu wake kimuziki.
“Kwa kweli mwaka huu najisikia sana mimi” alisema Dr Martin Mhando, mkurugenzi wa tamasha la ZIFF. “ Ukiacha Shaggy mwaka huu filamu itakayofungua dimba ni filamu inayohusu muziki na wanawake itokayo Canada/Uganda inayoitwa “Making The Band”. Filamu hii na kuja kwa Shaggy kutatimiza sherehe za Mwaka wa Umoja Wa Mataifa unaosherehekea mahusiano kati ya waafrika walio barani na wale walio nje ya Afrika. ZIFF inahimiza sana mahusiano hayo”
Kwa upande wa filamu, mkazo utakuwa juu ya filamu za dokumentari ambapo mtengenezaji mahiri Nick Broomfield wa Uingereza atakuwa mgeni mashuhuri wa ZIFF. Mtengenezaji huyu wa filamu inayojulikana sana ya “Biggie and Tupac” atakuja kufundisha akisaidiwa na watengeneza filamu wengine kama vile Donald Ravaud (Constant Gardner).
Filamu mpya itakayoonyeshwa mwaka huu ZIFF ni ile inayohusu maisha ya makamu wa rais Maalim Seif Sharif Hamad. Muasisi huyu wa amani na demokrasia hapa nchini anazungumzia maisha yake tangu utoto hadi leo.
Wageni wengine watakaokuja ni Oliver Mutukudzi toka Zimbabwe, anayejulikana kwa muziki wake wakuchezeka na kuliwaza. Filamu 6 zitaonyeshwa kwa mara ya kwanza duniani pamoja na filamu Taka Takata toka Afrika Kusini na The Rugged Priest toka Kenya. Filamu za Waaborijino wa Kiaustralia pia zitapewa umuhimu wa juu katika tamasha mwaka huu.
Itatarajiwa kuwa watu wasiopungua 45,000 watapita Ngome Kongwe katika siku hizo
10 za tamasha.

TAMASHA KUU AFRICA LIKO TAYARI- ZI FF 2011 YAJA KWA VISHINDO: SHAGGY KUTINGA NGOME KONGWE

Leo ratiba ya tamasha la 14 la ZIFF imetoka ikionyesha kuweko filamu 71 kutoka nchi 39 zitakazoonyeshwa katika siku 10 za tamasha. Pamoja na... [Read More]

Hip Hop artist Barry Adrian Reese aka Cassidy inasemekana amekamatwa pande za Hackensack,New Jersey kwa kile kilichosemekana kuwa Cassidy anahusishwa na mauaji na matukio mengine mawili ya uhalifu yaliyotokea pande za Philadelphia
Polisi wa Philadelphia walimfuatilia Cassidy tangu alipotoka home kwake mchana na kulisimamisha gari lake kitendo kilichomshangaza sasa Cassidy na anatarajiwa kupelekwa mjini Philadelphia soon kujibu mashitaka

CASSIDY AKAMATWA....AHUSISHWA NA MAUAJI.

Hip Hop artist Barry Adrian Reese aka Cassidy inasemekana amekamatwa pande za Hackensack,New Jersey kwa kile kilichosemekana kuwa Cassidy an... [Read More]

Lady Gaga is now the most followed person on Twitter!
The pop singer recently reached 10 million followers on the social networking site and made history in the process.
Upon learning of her accomplishment, Gaga tweeted:
“10MillionMonsters! I’m speechless, we did it. Its an illness how I love you. Leaving London smiling.”
Gaga is the first person to ever gain 10 million followers on the popular social networking site … with Justin Bieber trailing right behind her with 9,662,147.
Congrats Gaga!

LADY GAGA MAKES TWITTER HISTORY BY HITTING 10 MILLION FOLLOWERS.

Lady Gaga is now the most followed person on Twitter! The pop singer recently reached 10 million followers on the social networking site an... [Read More]

Kuna habari toka Nairobi kuwa Artist wakali toka Marekani,Usher Raymond na Keri Hilson watadondoka jijini Nairobi kupiga concert baadaye mwezi August 2011
Inasemekana kuwa Usher Raymond na Keri Hilson,wamethibitisha kuwa watakuja nchini Kenya ku-perform kwenye official launch ya ujio mpya wa bia ya Tusker

Kuna habari toka Nairobi kuwa Artist wakali toka Marekani,Usher Raymond na Keri Hilson watadondoka jijini Nairobi kupiga concert baadaye mwe... [Read More]

Haitian pop star Michel Martelly has sworn in as president of the poorest country in the Americas.
Mr Martelly, 50, has pledged to speed up earthquake reconstruction, develop the impoverished countryside and build a modern army.
The political novice was elected president in March in a run-off poll after a first round marred by fraud.
Hundreds of thousands of Haitians still live in tent cities after the devastating January 2010 earthquake.
Mr Martelly, known to Haitians as Sweet Micky, has been inaugurated in front of Haiti’s badly-damaged National Palace.

HAITI POP STAR MICHEL MARTELLY TAKES OVER AS PRESIDENT

Haitian pop star Michel Martelly has sworn in as president of the poorest country in the Americas. Mr Martelly, 50, has pledged to speed up... [Read More]

Azerbaijan has been crowned the winner of this year’s Eurovision Song Contest in Germany, while the UK came 11th.
Eldar Gasimov and Nigar Jamal of Ell/Nikki were voted Europe’s favourites, after scoring 221 points with their love song, Running Scared.
Newly reformed band Blue notched up 100 points, whilst Ireland’s entry, X Factor twins Jedward, finished eighth.
Italy’s Raphael Gualazzi took second place, followed by Eric Saade from Sweden.

AZERBAIJAN WINS THE EUROVISION SONG CONTEST

Azerbaijan has been crowned the winner of this year’s Eurovision Song Contest in Germany, while the UK came 11th. Eldar Gasimov and Nigar J... [Read More]

Rapper toka Kenya Stella Mwangi aka STL anatarajiwa kurudi Kenya alikoandaliwa sherehe kwa ajili ya kumpongeza kwa mafanikio aliyoyapata kwa kufukia nusu fainali ya Eurovision Song Contest 2011,akiiwakilisha nchi ya Norway
Sherehe hiyo inatarajiwa kufanyika pande za Michael Joseph Centre,jijini Nairobi na bendi ya Altimate ikishirikiana na ubalozi wa Norway na kampuni moja ya simu nchini Kenya wameandaa bata hilo kwa STL

STL AAFANYIWA BIG SHANGWE KWA AJILI YA KUWEKA HESHIMA YA KENYA

Rapper toka Kenya Stella Mwangi aka STL anatarajiwa kurudi Kenya alikoandaliwa sherehe kwa ajili ya kumpongeza kwa mafanikio aliyoyapata kwa... [Read More]

Have u heard the term Swagger on Steroids-(S.O.S)...well triple dat and u get one big word..WAKACHA. 5 Young kids from the same neighborhood have decided to join forces and try the blessing in the industry. Swagger is sick and they needed a doctor, B'hits Music Emergency Room was ready to operate on this new crew and make sure Swagger survives.
Nas 3, Giga flow, Jux, Rich Boy and Cyril form the lineup of Wakacha under close supervision of non other than Pancho Latino and New Management team BLACK PANTHERS INC. shit gets hot every little second.
"Here We Go" is a Swagger track something everybody does but definitely not like this. The lyrics itself are visual and the beat speaks for itself. Wakacha has already made enough material before cumin out and its Release from here....HERE...WE....GOO   .... 1 point to be remembered, this track should be played in SERIOUSLY HIGH VOLUME..SERIOUS, JUST TRY.

HERE WE GO - WAKACHA BRAND NEW TRACK

Have u heard the term Swagger on Steroids-(S.O.S)...well triple dat and u get one big word..WAKACHA. 5 Young kids from the same neighborhood... [Read More]

Keyshia Cole - Take Me Away

[Read More]

THIS IS HOW U BREAK IT DOWN.... DOWN....DOWN!!

[Read More]

Tapemasters Inc - The Future Of R&B 39

DOWNLOAD [Read More]

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging